Kumbukumbu la Torati 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nawe unajua vema kwa moyo wako mwenyewe kwamba kama vile mtu anavyomrekebisha mwana wake, ndivyo Yehova Mungu wako alikuwa akikurekebisha.+ Methali 23:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mwanangu, ikiwa moyo wako umekuwa na hekima,+ moyo wangu utashangilia, naam, moyo wangu.+ Waebrania 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ninyi mnavumilia kwa ajili ya nidhamu.+ Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye baba hamtii nidhamu?+ Waebrania 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Zaidi ya hayo, tulikuwa na baba zetu wa mwili waliokuwa wakitutia nidhamu,+ nasi tulikuwa tukiwapa heshima. Kwa nini tusijitiishe zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+
5 Nawe unajua vema kwa moyo wako mwenyewe kwamba kama vile mtu anavyomrekebisha mwana wake, ndivyo Yehova Mungu wako alikuwa akikurekebisha.+
7 Ninyi mnavumilia kwa ajili ya nidhamu.+ Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye baba hamtii nidhamu?+
9 Zaidi ya hayo, tulikuwa na baba zetu wa mwili waliokuwa wakitutia nidhamu,+ nasi tulikuwa tukiwapa heshima. Kwa nini tusijitiishe zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+