-
Waebrania 12:9Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
9 Zaidi ya hilo, tulikuwa na kawaida ya kuwa na baba waliokuwa wa mwili wetu kututia nidhamu, nasi tulikuwa na kawaida ya kuwapa wao staha. Je, hatutajitiisha wenyewe zaidi sana kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?
-