2 Samweli 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mimi mwenyewe nitakuwa baba yake,+ na yeye mwenyewe atakuwa mwanangu.+ Atakapofanya makosa, nitamkaripia kwa fimbo+ ya wanadamu na kwa mapigo ya wana wa Adamu. Methali 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwa sababu yeye ambaye Yehova anampenda,+ humkaripia, kama vile baba anavyomkaripia mwana anayemfurahia.+ 1 Wakorintho 11:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hata hivyo, tunapohukumiwa,+ Yehova+ anatutia nidhamu, ili tusihukumiwe+ pamoja na ulimwengu.+ Waebrania 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+ Ufunuo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “ ‘Wale wote ninaowapenda, mimi huwakaripia na kuwatia nidhamu.+ Kwa hiyo uwe mwenye bidii na utubu.+
14 Mimi mwenyewe nitakuwa baba yake,+ na yeye mwenyewe atakuwa mwanangu.+ Atakapofanya makosa, nitamkaripia kwa fimbo+ ya wanadamu na kwa mapigo ya wana wa Adamu.
12 kwa sababu yeye ambaye Yehova anampenda,+ humkaripia, kama vile baba anavyomkaripia mwana anayemfurahia.+
6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+
19 “ ‘Wale wote ninaowapenda, mimi huwakaripia na kuwatia nidhamu.+ Kwa hiyo uwe mwenye bidii na utubu.+