Methali 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Anayezuia fimbo yake anamchukia mwana wake,+ lakini anayempenda ni yule anayemwangalia kwa nidhamu.+ Methali 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtie mwana wako adabu wakati bado kuna tumaini;+ wala usiweke tamaa ya nafsi yako juu ya kumuua.+ Methali 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Inakupasa wewe mwenyewe umpige kwa fimbo, upate kuikomboa nafsi yake na Kaburi.*+ Methali 29:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Fimbo na karipio ndivyo hutia hekima;+ lakini mvulana aliyeachiliwa atamletea mama yake aibu.+ Waebrania 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana wao kwa siku chache walikuwa wakitutia nidhamu kulingana na yaliyoonekana kuwa mema kwao,+ lakini yeye hufanya hivyo kwa faida yetu ili tuushiriki utakatifu wake.+
24 Anayezuia fimbo yake anamchukia mwana wake,+ lakini anayempenda ni yule anayemwangalia kwa nidhamu.+
10 Kwa maana wao kwa siku chache walikuwa wakitutia nidhamu kulingana na yaliyoonekana kuwa mema kwao,+ lakini yeye hufanya hivyo kwa faida yetu ili tuushiriki utakatifu wake.+