Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye alikuwa akiwaambia:+ “Kwa nini mnazidi kufanya mambo kama haya?+ Kwa maana mambo ninayoyasikia kuhusu ninyi kutoka kwa watu wote ni mabaya.+

  • Methali 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mtie mwana wako adabu wakati bado kuna tumaini;+ wala usiweke tamaa ya nafsi yako juu ya kumuua.+

  • Mhubiri 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana hukumu juu ya kazi mbaya haikutekelezwa upesi,+ ndiyo sababu moyo wa wana wa binadamu umeazimia kabisa ndani yao kutenda yaliyo mabaya.+

  • 1 Timotheo 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Watu walio na mazoea ya kutenda dhambi+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji, ili wengine pia waogope.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki