1 Samweli 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye alikuwa akiwaambia:+ “Kwa nini mnazidi kufanya mambo kama haya?+ Kwa maana mambo ninayoyasikia kuhusu ninyi kutoka kwa watu wote ni mabaya.+ Methali 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtie mwana wako adabu wakati bado kuna tumaini;+ wala usiweke tamaa ya nafsi yako juu ya kumuua.+ Mhubiri 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana hukumu juu ya kazi mbaya haikutekelezwa upesi,+ ndiyo sababu moyo wa wana wa binadamu umeazimia kabisa ndani yao kutenda yaliyo mabaya.+ 1 Timotheo 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Watu walio na mazoea ya kutenda dhambi+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji, ili wengine pia waogope.+
23 Naye alikuwa akiwaambia:+ “Kwa nini mnazidi kufanya mambo kama haya?+ Kwa maana mambo ninayoyasikia kuhusu ninyi kutoka kwa watu wote ni mabaya.+
11 Kwa maana hukumu juu ya kazi mbaya haikutekelezwa upesi,+ ndiyo sababu moyo wa wana wa binadamu umeazimia kabisa ndani yao kutenda yaliyo mabaya.+
20 Watu walio na mazoea ya kutenda dhambi+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji, ili wengine pia waogope.+