Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 na kuutia kwa nguvu ndani ya beseni au chungu cha kupikia chenye mikono miwili au sufuria au chungu cha kupikia chenye mkono mmoja. Chochote ambacho uma huo ulichukua kutoka ndani, kuhani alijichukulia. Hivyo ndivyo walivyofanya katika Shilo kwa Waisraeli wote waliokuja huko.+

  • 1 Samweli 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na dhambi ya watumishi hao ikaja kuwa kubwa sana mbele za Yehova;+ kwa kuwa watu hao hawakuliheshimu toleo la Yehova.+

  • 1 Samweli 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na Eli alikuwa amezeeka sana, naye alikuwa ameyasikia+ yote ambayo wanawe walizidi kuwatendea+ Israeli wote na jinsi walivyokuwa wakilala na wanawake+ waliokuwa wakitumikia katika mwingilio wa hema la mkutano.+

  • 1 Wafalme 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na baba yake hakuumiza hisia zake wakati wowote kwa kusema: “Kwa nini umefanya hivi?”+ Naye pia alikuwa na umbo zuri sana,+ na mama yake alimzaa baada ya Absalomu.

  • Yakobo 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 jueni kwamba yeye anayemrudisha mtenda-dhambi kutoka kwenye kosa+ la njia yake ataiokoa nafsi yake kutoka kwenye kifo+ naye atafunika dhambi nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki