Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Ikiwa nafsi+ inatenda dhambi kwa kuwa amesikia laana+ ya hadharani naye ni shahidi au ameiona au amepata kujua juu yake, asipotoa habari,+ ndipo atakapojibu kwa sababu ya kosa lake.

  • 1 Samweli 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na Eli alikuwa amezeeka sana, naye alikuwa ameyasikia+ yote ambayo wanawe walizidi kuwatendea+ Israeli wote na jinsi walivyokuwa wakilala na wanawake+ waliokuwa wakitumikia katika mwingilio wa hema la mkutano.+

  • Yohana 15:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kama singekuja na kuwaambia, hawangekuwa na dhambi;+ lakini sasa hawana sababu ya kujitetea kwa ajili ya dhambi yao.+

  • Yakobo 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo, ikiwa mtu anajua jinsi ya kufanya yaliyo sawa na bado hayafanyi,+ hiyo ni dhambi+ kwake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki