Yeremia 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wamerudi kwenye makosa ya mababu zao,+ wale wa kwanza, waliokataa kuyatii maneno yangu, lakini ambao wenyewe wameifuata miungu mingine ili kuitumikia.+ Nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda zimevunja agano langu nililofanya pamoja na mababu zao.+
10 Wamerudi kwenye makosa ya mababu zao,+ wale wa kwanza, waliokataa kuyatii maneno yangu, lakini ambao wenyewe wameifuata miungu mingine ili kuitumikia.+ Nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda zimevunja agano langu nililofanya pamoja na mababu zao.+