Zaburi 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yeye amesema katika moyo wake:+ “Mungu amesahau.+Ameuficha uso wake.+Hakika hatauona kamwe.”+ Isaya 29:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ole wao wanaojizamisha ndani sana katika kuficha shauri kutoka kwa Yehova,+ na ambao matendo yao yamefanyika mahali penye giza,+ huku wakisema: “Ni nani anayetuona, na ni nani anayejua habari zetu?”+
15 Ole wao wanaojizamisha ndani sana katika kuficha shauri kutoka kwa Yehova,+ na ambao matendo yao yamefanyika mahali penye giza,+ huku wakisema: “Ni nani anayetuona, na ni nani anayejua habari zetu?”+