Zaburi 52:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Umependa maneno yote yenye kumeza,+Ewe ulimi wenye udanganyifu.+ Methali 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Midomo ya uwongo ni chukizo kwa Yehova,+ lakini wanaotenda kwa uaminifu ni furaha kwake.+ Yakobo 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi, ulimi ni moto.+ Ulimi ni ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu kati ya viungo vyetu, kwa maana huutia doa mwili+ wote na kuuwasha moto mzunguko wa uhai wa asili nao huwashwa moto na Gehena.*
6 Basi, ulimi ni moto.+ Ulimi ni ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu kati ya viungo vyetu, kwa maana huutia doa mwili+ wote na kuuwasha moto mzunguko wa uhai wa asili nao huwashwa moto na Gehena.*