Yohana 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo Mafarisayo+ wakasema kati yao wenyewe: “Ninyi mnaona kwamba hamfanikiwi kamwe. Oneni! Ulimwengu umemfuata.”+ Matendo 24:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana tumemwona mwanamume huyu kuwa mtu msumbufu+ na mwenye kufanya uchochezi wa uasi+ kati ya Wayahudi wote katika dunia yote inayokaliwa na kuwa kiongozi mkuu wa madhehebu ya Wanazareti,+
19 Kwa hiyo Mafarisayo+ wakasema kati yao wenyewe: “Ninyi mnaona kwamba hamfanikiwi kamwe. Oneni! Ulimwengu umemfuata.”+
5 Kwa maana tumemwona mwanamume huyu kuwa mtu msumbufu+ na mwenye kufanya uchochezi wa uasi+ kati ya Wayahudi wote katika dunia yote inayokaliwa na kuwa kiongozi mkuu wa madhehebu ya Wanazareti,+