26 Kwa hiyo wakaja kwa Yohana na kumwambia: “Rabi, mtu aliyekuwa pamoja nawe ng’ambo ya Yordani, ambaye umetoa ushahidi+ juu yake, ona, huyu anabatiza na wote wanamwendea.”+
28 na kusema: “Hakika tuliwaagiza+ msiendelee kufundisha juu ya msingi wa jina hili, na bado, tazameni! mmejaza Yerusalemu fundisho lenu,+ nanyi mnaazimia kuileta damu+ ya mtu huyu juu yetu.”