1 Wafalme 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nanyi mwaketishe watu wawili,+ watu wasiofaa kitu,+ mbele yake, nao watoe ushahidi juu yake,+ wakisema, ‘Umemlaani Mungu na mfalme!’+ Nanyi mtoeni nje na kumpiga kwa mawe ili afe.”+ Zaburi 35:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mashahidi wenye jeuri husimama;+Huniuliza mambo nisiyojua.+
10 Nanyi mwaketishe watu wawili,+ watu wasiofaa kitu,+ mbele yake, nao watoe ushahidi juu yake,+ wakisema, ‘Umemlaani Mungu na mfalme!’+ Nanyi mtoeni nje na kumpiga kwa mawe ili afe.”+