Mathayo 22:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wakasema: “Ni za Kaisari.” Ndipo akawaambia: “Basi, mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari, lakini Mungu vitu vya Mungu.”+ Marko 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo Yesu akasema: “Mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari,+ lakini Mungu vitu vya Mungu.”+ Nao wakaanza kumstaajabia.+ Luka 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo wakaanza kumshtaki,+ wakisema: “Tulimkuta mtu huyu akipindua+ taifa letu na kuwakataza watu wasimlipe Kaisari kodi+ na kusema kwamba yeye mwenyewe ni Kristo mfalme.”+
21 Wakasema: “Ni za Kaisari.” Ndipo akawaambia: “Basi, mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari, lakini Mungu vitu vya Mungu.”+
17 Ndipo Yesu akasema: “Mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari,+ lakini Mungu vitu vya Mungu.”+ Nao wakaanza kumstaajabia.+
2 Ndipo wakaanza kumshtaki,+ wakisema: “Tulimkuta mtu huyu akipindua+ taifa letu na kuwakataza watu wasimlipe Kaisari kodi+ na kusema kwamba yeye mwenyewe ni Kristo mfalme.”+