2 Sasa Yehu+ mwana wa Hanani+ mwonaji+ akaenda mbele yake na kumwambia Mfalme Yehoshafati: “Je, waovu wanapaswa kupewa msaada,+ na je, unapaswa kuwapenda+ wale wanaomchukia+ Yehova? Kwa sababu hiyo kuna ghadhabu+ juu yako inayotoka mbele za uso wa Yehova.
34 Na mambo mengine ya Yehoshafati, ya kwanza na ya mwisho, tazama, yameandikwa kati ya maneno ya Yehu+ mwana wa Hanani,+ yaliyoingizwa katika Kitabu+ cha Wafalme wa Israeli.