2 Mambo ya Nyakati 32:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini Hezekia hakurudisha kulingana na mema aliyotendewa,+ kwa kuwa moyo wake ulikuwa wenye majivuno+ na kukawa na ghadhabu+ juu yake na juu ya Yuda na Yerusalemu. Zaburi 90:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana tumefikia mwisho kwa hasira yako,+Na kwa ghadhabu yako tumetiwa wasiwasi.+ Zaburi 141:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+
25 Lakini Hezekia hakurudisha kulingana na mema aliyotendewa,+ kwa kuwa moyo wake ulikuwa wenye majivuno+ na kukawa na ghadhabu+ juu yake na juu ya Yuda na Yerusalemu.
5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+