Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 32:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini Hezekia hakurudisha kulingana na mema aliyotendewa,+ kwa kuwa moyo wake ulikuwa wenye majivuno+ na kukawa na ghadhabu+ juu yake na juu ya Yuda na Yerusalemu.

  • Zaburi 90:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana tumefikia mwisho kwa hasira yako,+

      Na kwa ghadhabu yako tumetiwa wasiwasi.+

  • Zaburi 141:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+

      Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+

      Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+

      Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki