2 Mambo ya Nyakati 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na wakati huo Hanani+ mwonaji akamjia Asa mfalme wa Yuda, kisha akamwambia: “Kwa sababu ulimwegemea mfalme wa Siria+ wala hukumwegemea Yehova Mungu wako,+ kwa sababu hiyo jeshi la mfalme wa Siria limeponyoka kutoka mkononi mwako.
7 Na wakati huo Hanani+ mwonaji akamjia Asa mfalme wa Yuda, kisha akamwambia: “Kwa sababu ulimwegemea mfalme wa Siria+ wala hukumwegemea Yehova Mungu wako,+ kwa sababu hiyo jeshi la mfalme wa Siria limeponyoka kutoka mkononi mwako.