2 Wafalme 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Alimtegemea Yehova Mungu wa Israeli;+ na baada yake hapakuwa na yeyote kama yeye kati ya wafalme wote wa Yuda,+ hata wale waliomtangulia.+ Waebrania 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo, basi, kwa sababu tuna wingu kubwa hivyo la mashahidi+ linalotuzunguka, acheni sisi pia tuondoe kila uzito+ na dhambi ambayo hututatanisha kwa urahisi,+ na acheni tukimbie kwa uvumilivu+ shindano la mbio+ lililowekwa mbele yetu,+
5 Alimtegemea Yehova Mungu wa Israeli;+ na baada yake hapakuwa na yeyote kama yeye kati ya wafalme wote wa Yuda,+ hata wale waliomtangulia.+
12 Kwa hiyo, basi, kwa sababu tuna wingu kubwa hivyo la mashahidi+ linalotuzunguka, acheni sisi pia tuondoe kila uzito+ na dhambi ambayo hututatanisha kwa urahisi,+ na acheni tukimbie kwa uvumilivu+ shindano la mbio+ lililowekwa mbele yetu,+