5 Utakufa kwa amani;+ nao watakufanyia mfukizo,+ kama ule mfukizo ambao waliwafanyia baba zako, wale wafalme wa zamani waliokutangulia,+ na ‘Aa, Ee bwana!’+ ndivyo watakavyosema wakikuombolezea,+ kwa maana ‘mimi mwenyewe nimesema neno hili,’ asema Yehova.”’”’”