Yeremia 34:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Utakufa kwa amani,+ nao watakufanyia sherehe ya kufukiza manukato kama walivyowafanyia baba zako, wafalme wa zamani waliokutangulia, nao watakuombolezea wakisema, ‘Ole, ewe bwana!’ kwa maana ‘nimelisema neno hilo,’ asema Yehova.”’”’”
5 Utakufa kwa amani,+ nao watakufanyia sherehe ya kufukiza manukato kama walivyowafanyia baba zako, wafalme wa zamani waliokutangulia, nao watakuombolezea wakisema, ‘Ole, ewe bwana!’ kwa maana ‘nimelisema neno hilo,’ asema Yehova.”’”’”