Maombolezo 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Pumzi ya mianzi ya pua zetu,+ mtiwa-mafuta wa Yehova,+ amenaswa katika shimo lao kubwa,+Yule ambaye tumesema habari zake: “Tutaishi chini ya kivuli+ chake kati ya mataifa.”+ Mika 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Siku hiyo mtu atapaaza neno la kimethali+ kuwahusu ninyi naye ataomboleza, ndiyo, maombolezo.+ Mtu atasema: “Hakika tumeporwa!+ Anabadili fungu la watu wangu.+ Jinsi anavyoliondoa kwangu! Anawagawia wasio waaminifu mashamba yetu wenyewe.”
20 Pumzi ya mianzi ya pua zetu,+ mtiwa-mafuta wa Yehova,+ amenaswa katika shimo lao kubwa,+Yule ambaye tumesema habari zake: “Tutaishi chini ya kivuli+ chake kati ya mataifa.”+
4 Siku hiyo mtu atapaaza neno la kimethali+ kuwahusu ninyi naye ataomboleza, ndiyo, maombolezo.+ Mtu atasema: “Hakika tumeporwa!+ Anabadili fungu la watu wangu.+ Jinsi anavyoliondoa kwangu! Anawagawia wasio waaminifu mashamba yetu wenyewe.”