Marko 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo siku ya sabato+ ilipokuwa imepita, Maria Magdalene,+ na Maria mama ya Yakobo, na Salome wakanunua manukato kusudi waje kumpaka.+ Yohana 19:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Basi wakauchukua mwili wa Yesu na kuufunga kwa vitambaa pamoja na manukato,+ sawa na jinsi Wayahudi walivyo na desturi ya kutayarisha kwa ajili ya maziko.
16 Kwa hiyo siku ya sabato+ ilipokuwa imepita, Maria Magdalene,+ na Maria mama ya Yakobo, na Salome wakanunua manukato kusudi waje kumpaka.+
40 Basi wakauchukua mwili wa Yesu na kuufunga kwa vitambaa pamoja na manukato,+ sawa na jinsi Wayahudi walivyo na desturi ya kutayarisha kwa ajili ya maziko.