Marko 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Alifanya jambo ambalo aliweza; ameutia mwili wangu mafuta yenye marashi ili kunitayarisha kimbele kwa ajili ya maziko yangu.+ Luka 23:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 nao wakarudi kutayarisha manukato na mafuta yaliyotiwa marashi.+ Lakini, bila shaka, walipumzika siku ya sabato+ kulingana na amri.
8 Alifanya jambo ambalo aliweza; ameutia mwili wangu mafuta yenye marashi ili kunitayarisha kimbele kwa ajili ya maziko yangu.+
56 nao wakarudi kutayarisha manukato na mafuta yaliyotiwa marashi.+ Lakini, bila shaka, walipumzika siku ya sabato+ kulingana na amri.