29 Kumbukeni kwamba Yehova amewapa ninyi sabato.+ Ndiyo sababu anawapa siku ya sita mkate wa siku mbili. Endeleeni kukaa kila mmoja mahali pake.+ Mtu yeyote asitoke mahali pake siku ya saba.”
15 Siku sita kazi inaweza kufanywa, lakini siku ya saba ni sabato ya pumziko kamili.+ Ni kitu kitakatifu kwa Yehova. Mtu yeyote atakayefanya kazi siku ya sabato hakika atauawa.