Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 16:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kumbukeni kwamba Yehova amewapa ninyi sabato.+ Ndiyo sababu anawapa siku ya sita mkate wa siku mbili. Endeleeni kukaa kila mmoja mahali pake.+ Mtu yeyote asitoke mahali pake siku ya saba.”

  • Kutoka 20:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Kwa kuikumbuka siku ya sabato ili kuiona kuwa takatifu,+

  • Kutoka 31:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Siku sita kazi inaweza kufanywa, lakini siku ya saba ni sabato ya pumziko kamili.+ Ni kitu kitakatifu kwa Yehova. Mtu yeyote atakayefanya kazi siku ya sabato hakika atauawa.

  • Kumbukumbu la Torati 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Kwa kuishika siku ya sabato ili kuiona kuwa takatifu, kama vile Yehova Mungu wako alivyokuamuru,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki