Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 16:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi akawaambia: “Ndivyo Yehova amesema. Kesho kutakuwa na kushika sabato, sabato takatifu kwa Yehova.+ Mnachoweza kuoka, okeni, na mnachoweza kutokosa, tokoseni,+ na ziada yote iliyopo jiwekeeni akiba kiwe kitu cha kuwekwa mpaka asubuhi.”

  • Kutoka 31:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Wewe nawe, nena na wana wa Israeli, na kusema, ‘Hasa sabato zangu, mtazishika,+ kwa maana ni ishara kati yangu na ninyi katika vizazi vyenu ili mpate kujua kwamba mimi Yehova ninawatakasa ninyi.+

  • Kumbukumbu la Torati 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Kwa kuishika siku ya sabato ili kuiona kuwa takatifu, kama vile Yehova Mungu wako alivyokuamuru,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki