Ezekieli 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nikawapa pia sabato zangu,+ ziwe ishara kati yangu nao,+ ili wajue kwamba mimi ni Yehova ninayewatakasa. Yohana 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watakase+ kwa njia ya ile kweli; neno+ lako ni kweli.+ 1 Wathesalonike 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule Mungu wa amani+ na awatakase ninyi kikamilifu.+ Na vikiwa timamu katika kila jambo, roho na nafsi na mwili wenu akina ndugu na vihifadhiwe kwa namna isiyo na lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+
12 Nami nikawapa pia sabato zangu,+ ziwe ishara kati yangu nao,+ ili wajue kwamba mimi ni Yehova ninayewatakasa.
23 Yule Mungu wa amani+ na awatakase ninyi kikamilifu.+ Na vikiwa timamu katika kila jambo, roho na nafsi na mwili wenu akina ndugu na vihifadhiwe kwa namna isiyo na lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+