Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Kwa kuikumbuka siku ya sabato ili kuiona kuwa takatifu,+

  • Mambo ya Walawi 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Siku sita kazi inaweza kufanywa, lakini katika siku ya saba ni sabato ya pumziko kamili,+ mkusanyiko mtakatifu. Hamtafanya kazi ya aina yoyote. Ni sabato kwa Yehova katika makao yenu yote.+

  • Mambo ya Walawi 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Katika mwezi wa saba,+ siku ya kwanza ya mwezi huo, mtakuwa na pumziko kamili, ukumbusho kwa kupiga tarumbeta,+ mkusanyiko mtakatifu.+

  • Mambo ya Walawi 23:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Ni sabato ya pumziko kamili kwenu,+ nanyi mtazitesa+ nafsi zenu katika siku ya tisa ya mwezi huo wakati wa jioni. Toka jioni mpaka jioni mtaishika sabato.”

  • Mambo ya Walawi 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini katika mwaka wa saba kutakuwa na sabato ya pumziko kamili kwa ajili ya nchi hiyo,+ sabato kwa Yehova. Shamba lako hutalipanda mbegu, nalo shamba lako la mizabibu hutalikata matawi.

  • Mambo ya Walawi 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mwaka wa 50 utakuwa Yubile kwenu.+ Hamtapanda mbegu wala kuvuna mimea ya nchi inayochipuka kutokana na mbegu zilizoanguka wala kukusanya zabibu kutoka katika mizabibu ambayo haijakatwa matawi.+

  • Kumbukumbu la Torati 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Kwa kuishika siku ya sabato ili kuiona kuwa takatifu, kama vile Yehova Mungu wako alivyokuamuru,+

  • Nehemia 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nawe ukawajulisha sabato+ yako takatifu, na amri na masharti na sheria ukawaamuru kupitia Musa mtumishi wako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki