Mambo ya Walawi 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwaka huo utakuwa mwaka wa Mwadhimisho wa Miaka 50. Hamtapanda mbegu wala kuvuna nafaka iliyoota yenyewe wala kuchuma zabibu kutoka kwenye mizabibu ambayo haijapunguzwa matawi.+
11 Mwaka huo utakuwa mwaka wa Mwadhimisho wa Miaka 50. Hamtapanda mbegu wala kuvuna nafaka iliyoota yenyewe wala kuchuma zabibu kutoka kwenye mizabibu ambayo haijapunguzwa matawi.+