Mambo ya Walawi 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwaka wa 50 utakuwa Yubile kwenu.+ Hamtapanda mbegu wala kuvuna mimea ya nchi inayochipuka kutokana na mbegu zilizoanguka wala kukusanya zabibu kutoka katika mizabibu ambayo haijakatwa matawi.+
11 Mwaka wa 50 utakuwa Yubile kwenu.+ Hamtapanda mbegu wala kuvuna mimea ya nchi inayochipuka kutokana na mbegu zilizoanguka wala kukusanya zabibu kutoka katika mizabibu ambayo haijakatwa matawi.+