Mathayo 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana Mwana wa binadamu+ ndiye Bwana wa sabato.”+ Mathayo 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yote hayo yakifikiriwa, mwanadamu ni mwenye thamani kama nini kuliko kondoo!+ Kwa hiyo ni halali kufanya jambo zuri siku ya sabato.” Waroma 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 kwamba uumbaji+ wenyewe pia utawekwa huru+ kutoka katika utumwa wa uharibifu na kuwa na uhuru wenye utukufu wa watoto wa Mungu.
12 Yote hayo yakifikiriwa, mwanadamu ni mwenye thamani kama nini kuliko kondoo!+ Kwa hiyo ni halali kufanya jambo zuri siku ya sabato.”
21 kwamba uumbaji+ wenyewe pia utawekwa huru+ kutoka katika utumwa wa uharibifu na kuwa na uhuru wenye utukufu wa watoto wa Mungu.