Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Siku sita utafanya kazi, bali siku ya saba utaishika sabato.+ Wakati wa kulima na wakati wa kuvuna utaishika sabato.+

  • Mambo ya Walawi 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini katika mwaka wa saba kutakuwa na sabato ya pumziko kamili kwa ajili ya nchi hiyo,+ sabato kwa Yehova. Shamba lako hutalipanda mbegu, nalo shamba lako la mizabibu hutalikata matawi.

  • Mambo ya Walawi 25:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nanyi mtautakasa mwaka wa 50 na kutangaza uhuru katika nchi kwa wakaaji wake wote.+ Itakuwa Yubile+ kwenu, nanyi mtarudi kila mmoja kwenye miliki yake nanyi mtarudi kila mmoja kwa familia yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki