10 Lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye kazi yoyote, wewe wala mwana wako wala binti yako, mtumwa wako wala kijakazi wako wala mnyama wako wa kufugwa wala mgeni wako aliye ndani ya malango yako.+
21 Kwa maana tangu nyakati za kale katika jiji baada ya jiji Musa amekuwa na wale wanaomhubiri, kwa sababu yeye husomwa kwa sauti kubwa katika masinagogi kila siku ya sabato.”+