Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 16:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kumbukeni kwamba Yehova amewapa ninyi sabato.+ Ndiyo sababu anawapa siku ya sita mkate wa siku mbili. Endeleeni kukaa kila mmoja mahali pake.+ Mtu yeyote asitoke mahali pake siku ya saba.”

  • Kumbukumbu la Torati 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye kazi yoyote,+ wewe wala mwana wako wala binti yako wala mtumishi wako wala kijakazi wako wala ng’ombe wako wala mkaaji mgeni wako aliye ndani ya malango yako,+ ili mtumishi wako na kijakazi wako wapate kupumzika kama wewe.+

  • Nehemia 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na Watiro+ walikaa katika jiji, wakiingiza samaki na kila namna ya mali+ na kuwauzia wana wa Yuda katika siku ya sabato Yerusalemu.

  • Yohana 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ikiwa mtu anatahiriwa siku ya sabato ili sheria ya Musa isivunjwe, je, mnanikasirikia kwa sababu nilimfanya mtu awe na afya nzuri siku ya sabato?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki