Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 31:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Wewe nawe, nena na wana wa Israeli, na kusema, ‘Hasa sabato zangu, mtazishika,+ kwa maana ni ishara kati yangu na ninyi katika vizazi vyenu ili mpate kujua kwamba mimi Yehova ninawatakasa ninyi.+

  • Isaya 58:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Ikiwa kwa ajili ya sabato utarudisha nyuma mguu wako kuhusiana na kuyafanya mapendezi yako mwenyewe katika siku yangu takatifu,+ na kwa kweli uiite sabato kuwa ni furaha tele, siku takatifu ya Yehova, inayotukuzwa,+ nawe kwa kweli uitukuze badala ya kufanya njia zako mwenyewe, badala ya kutafuta kinachokupendeza na kusema neno;

  • Ezekieli 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nikawapa pia sabato zangu,+ ziwe ishara kati yangu nao,+ ili wajue kwamba mimi ni Yehova ninayewatakasa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki