Kutoka 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Kwa kuikumbuka siku ya sabato ili kuiona kuwa takatifu,+ Mambo ya Walawi 19:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “‘Sabato zangu mtazishika,+ nanyi mtapaheshimu patakatifu pangu.+ Mimi ni Yehova. Wakolosai 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 kwa maana mambo hayo ni kivuli+ cha mambo yanayokuja, bali uhalisi+ ni wa Kristo.+