9 Nayo itatumika kwako kama ishara mkononi mwako na ukumbusho katikati ya macho yako,+ ili sheria ya Yehova iwe katika kinywa chako;+ kwa sababu kwa mkono wenye nguvu Yehova alikutoa Misri.+
13 “Wewe nawe, nena na wana wa Israeli, na kusema, ‘Hasa sabato zangu, mtazishika,+ kwa maana ni ishara kati yangu na ninyi katika vizazi vyenu ili mpate kujua kwamba mimi Yehova ninawatakasa ninyi.+
2 Siku sita kazi inaweza kufanywa,+ lakini siku ya saba itakuwa kitu kitakatifu kwenu, sabato ya pumziko kamili kwa Yehova. Mtu yeyote anayefanya kazi siku hiyo atauawa.+