Kutoka 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili siku zako zipate kuwa ndefu juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+ Waefeso 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mheshimu baba yako na mama yako”;+ ambayo ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi:+ Waebrania 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Zaidi ya hayo, tulikuwa na baba zetu wa mwili waliokuwa wakitutia nidhamu,+ nasi tulikuwa tukiwapa heshima. Kwa nini tusijitiishe zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+
12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili siku zako zipate kuwa ndefu juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+
9 Zaidi ya hayo, tulikuwa na baba zetu wa mwili waliokuwa wakitutia nidhamu,+ nasi tulikuwa tukiwapa heshima. Kwa nini tusijitiishe zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+