Matendo 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya kusoma Sheria+ na Manabii mbele ya watu wote maofisa-wasimamizi+ wa sinagogi wakawatuma watu kwao, wakisema: “Wanaume, akina ndugu, ikiwa kuna neno lolote la kitia moyo mlilo nalo kwa ajili ya watu, lisemeni.” 2 Wakorintho 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa kweli, mpaka leo wakati wowote maandishi ya Musa yanaposomwa,+ utaji hukaa juu ya mioyo yao.+
15 Baada ya kusoma Sheria+ na Manabii mbele ya watu wote maofisa-wasimamizi+ wa sinagogi wakawatuma watu kwao, wakisema: “Wanaume, akina ndugu, ikiwa kuna neno lolote la kitia moyo mlilo nalo kwa ajili ya watu, lisemeni.”