Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Maneno ya Yehova ni maneno safi,+

      Kama fedha iliyosafishwa katika tanuru ya kuyeyushia kwenye udongo, iliyosafishwa mara saba.

  • Zaburi 119:151
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 151 Wewe uko karibu, Ee Yehova+

      Na amri zako zote

      ni kweli.+

  • Zaburi 119:160
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 160 Kiini cha neno lako ni kweli,+

      Na kila uamuzi wako wa hukumu wa uadilifu ni wa mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Yakobo 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa sababu yeye alipenda+ hilo, alituzaa sisi kwa njia ya neno la kweli,+ ili sisi tuwe sehemu fulani ya matunda ya kwanza+ ya viumbe vyake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki