Zaburi 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Maneno ya Yehova ni maneno safi,+Kama fedha iliyosafishwa katika tanuru ya kuyeyushia kwenye udongo, iliyosafishwa mara saba. Zaburi 119:151 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 151 Wewe uko karibu, Ee Yehova+Na amri zako zoteni kweli.+ Zaburi 119:160 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 160 Kiini cha neno lako ni kweli,+Na kila uamuzi wako wa hukumu wa uadilifu ni wa mpaka wakati usio na kipimo.+ Yakobo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa sababu yeye alipenda+ hilo, alituzaa sisi kwa njia ya neno la kweli,+ ili sisi tuwe sehemu fulani ya matunda ya kwanza+ ya viumbe vyake.
6 Maneno ya Yehova ni maneno safi,+Kama fedha iliyosafishwa katika tanuru ya kuyeyushia kwenye udongo, iliyosafishwa mara saba.
160 Kiini cha neno lako ni kweli,+Na kila uamuzi wako wa hukumu wa uadilifu ni wa mpaka wakati usio na kipimo.+
18 Kwa sababu yeye alipenda+ hilo, alituzaa sisi kwa njia ya neno la kweli,+ ili sisi tuwe sehemu fulani ya matunda ya kwanza+ ya viumbe vyake.