15 Siku sita kazi inaweza kufanywa, lakini siku ya saba ni sabato ya pumziko kamili.+ Ni kitu kitakatifu kwa Yehova. Mtu yeyote atakayefanya kazi siku ya sabato hakika atauawa.
2 Siku sita kazi inaweza kufanywa,+ lakini siku ya saba itakuwa kitu kitakatifu kwenu, sabato ya pumziko kamili kwa Yehova. Mtu yeyote anayefanya kazi siku hiyo atauawa.+
3 “‘Siku sita kazi inaweza kufanywa, lakini katika siku ya saba ni sabato ya pumziko kamili,+ mkusanyiko mtakatifu. Hamtafanya kazi ya aina yoyote. Ni sabato kwa Yehova katika makao yenu yote.+