Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Kwa kuikumbuka siku ya sabato ili kuiona kuwa takatifu,+

  • Kutoka 31:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Siku sita kazi inaweza kufanywa, lakini siku ya saba ni sabato ya pumziko kamili.+ Ni kitu kitakatifu kwa Yehova. Mtu yeyote atakayefanya kazi siku ya sabato hakika atauawa.

  • Kutoka 35:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Siku sita kazi inaweza kufanywa,+ lakini siku ya saba itakuwa kitu kitakatifu kwenu, sabato ya pumziko kamili kwa Yehova. Mtu yeyote anayefanya kazi siku hiyo atauawa.+

  • Mambo ya Walawi 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Siku sita kazi inaweza kufanywa, lakini katika siku ya saba ni sabato ya pumziko kamili,+ mkusanyiko mtakatifu. Hamtafanya kazi ya aina yoyote. Ni sabato kwa Yehova katika makao yenu yote.+

  • Marko 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa hiyo akaendelea kuwaambia: “Sabato ilikuja kwa ajili ya mwanadamu,+ wala si mwanadamu kwa ajili ya sabato;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki