Mathayo 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata hivyo, kama mngalielewa maana ya neno hili, ‘Ninataka rehema,+ wala si dhabihu,’+ msingaliwalaumu watu wasio na hatia. Wakolosai 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo mtu yeyote asiwahukumu+ ninyi katika kula na kunywa+ au kuhusu sherehe+ au kuhusu kushika mwezi mpya+ au sabato;+
7 Hata hivyo, kama mngalielewa maana ya neno hili, ‘Ninataka rehema,+ wala si dhabihu,’+ msingaliwalaumu watu wasio na hatia.
16 Kwa hiyo mtu yeyote asiwahukumu+ ninyi katika kula na kunywa+ au kuhusu sherehe+ au kuhusu kushika mwezi mpya+ au sabato;+