Kutoka 20:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye kazi yoyote, wewe wala mwana wako wala binti yako, mtumwa wako wala kijakazi wako wala mnyama wako wa kufugwa wala mgeni wako aliye ndani ya malango yako.+ Ezekieli 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nikawapa pia sabato zangu,+ ziwe ishara kati yangu nao,+ ili wajue kwamba mimi ni Yehova ninayewatakasa.
10 Lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye kazi yoyote, wewe wala mwana wako wala binti yako, mtumwa wako wala kijakazi wako wala mnyama wako wa kufugwa wala mgeni wako aliye ndani ya malango yako.+
12 Nami nikawapa pia sabato zangu,+ ziwe ishara kati yangu nao,+ ili wajue kwamba mimi ni Yehova ninayewatakasa.