23 Basi akawaambia: “Ndivyo Yehova amesema. Kesho kutakuwa na kushika sabato, sabato takatifu kwa Yehova.+ Mnachoweza kuoka, okeni, na mnachoweza kutokosa, tokoseni,+ na ziada yote iliyopo jiwekeeni akiba kiwe kitu cha kuwekwa mpaka asubuhi.”
10 Lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye kazi yoyote, wewe wala mwana wako wala binti yako, mtumwa wako wala kijakazi wako wala mnyama wako wa kufugwa wala mgeni wako aliye ndani ya malango yako.+