Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 16:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi akawaambia: “Ndivyo Yehova amesema. Kesho kutakuwa na kushika sabato, sabato takatifu kwa Yehova.+ Mnachoweza kuoka, okeni, na mnachoweza kutokosa, tokoseni,+ na ziada yote iliyopo jiwekeeni akiba kiwe kitu cha kuwekwa mpaka asubuhi.”

  • Kutoka 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye kazi yoyote, wewe wala mwana wako wala binti yako, mtumwa wako wala kijakazi wako wala mnyama wako wa kufugwa wala mgeni wako aliye ndani ya malango yako.+

  • Luka 23:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 nao wakarudi kutayarisha manukato na mafuta yaliyotiwa marashi.+ Lakini, bila shaka, walipumzika siku ya sabato+ kulingana na amri.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki