1 Samweli 25:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Abigaili alipomwona Daudi, akafanya haraka mara moja, akashuka kutoka juu ya yule punda, akaanguka kifudifudi mbele ya Daudi, akainama+ chini. 2 Samweli 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na yule mwanamke Mtekoa akaingia kwa mfalme, akaanguka kifudifudi,+ akasujudu na kusema: “Okoa,+ Ee mfalme!”
23 Abigaili alipomwona Daudi, akafanya haraka mara moja, akashuka kutoka juu ya yule punda, akaanguka kifudifudi mbele ya Daudi, akainama+ chini.
4 Na yule mwanamke Mtekoa akaingia kwa mfalme, akaanguka kifudifudi,+ akasujudu na kusema: “Okoa,+ Ee mfalme!”