2 Samweli 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 mtu fulani aliponiletea habari,+ akisema, ‘Tazama, Sauli amekufa,’ naye machoni pake mwenyewe akawa kama mtu anayeleta habari njema, hata hivyo, mimi nilimkamata nikamuua+ katika Siklagi ingawa nilistahili kumpa ada ya mjumbe;
10 mtu fulani aliponiletea habari,+ akisema, ‘Tazama, Sauli amekufa,’ naye machoni pake mwenyewe akawa kama mtu anayeleta habari njema, hata hivyo, mimi nilimkamata nikamuua+ katika Siklagi ingawa nilistahili kumpa ada ya mjumbe;