Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Walikulilia,+ nao wakawa salama;+

      Walikutegemea, nao hawakuona aibu.+

  • Isaya 49:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na wafalme watakuwa watunzaji kwa ajili yako,+ na binti zao wa kifalme watakuwa wanawake wenye kutunza kwa ajili yako.+ Watakuinamia wewe kifudifudi, nao watayaramba mavumbi ya miguu yako;+ nawe utajua kwamba mimi ni Yehova, ambaye wale wanaonitumaini mimi hawataona aibu.”+

  • Waroma 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 nalo tumaini halikatishi tamaa;+ kwa sababu upendo wa Mungu+ umemiminwa ndani ya mioyo+ yetu kupitia roho takatifu,+ ambayo tulipewa.

  • Waroma 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Andiko linasema: “Yeyote anayemwamini+ hatakata tamaa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki