5 Lakini yeyote anayeshika neno+ lake, kwa kweli katika mtu huyo upendo kwa Mungu umekamilishwa.+ Kwa hili tunajua kwamba sisi tumo katika muungano na yeye.+
6 Na upendo unamaanisha hivi,+ kwamba tuendelee kutembea kulingana na amri+ zake. Hii ndiyo amri, kama vile mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mnapaswa kuendelea kutembea ndani yake.+