Yohana 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Ikiwa mnanipenda, mtazishika amri zangu;+ 1 Yohana 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini yeyote anayeshika neno+ lake, kwa kweli katika mtu huyo upendo kwa Mungu umekamilishwa.+ Kwa hili tunajua kwamba sisi tumo katika muungano na yeye.+ 1 Yohana 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+
5 Lakini yeyote anayeshika neno+ lake, kwa kweli katika mtu huyo upendo kwa Mungu umekamilishwa.+ Kwa hili tunajua kwamba sisi tumo katika muungano na yeye.+
3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+