Yeremia 22:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Msimlilie aliyekufa,+ wala msimsikitikie. Mlilieni sana yule anayeenda zake, kwa maana hatarudi tena wala kwa kweli hataiona nchi ya jamaa zake. Yeremia 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na katika nchi ambayo watakuwa wakiiinua nafsi yao ili warudi, hawatarudi huko.+
10 “Msimlilie aliyekufa,+ wala msimsikitikie. Mlilieni sana yule anayeenda zake, kwa maana hatarudi tena wala kwa kweli hataiona nchi ya jamaa zake.