16 ili kuifanya nchi yao kuwa kitu cha kushangaza,+ kuwa ya kupigiwa mluzi mpaka wakati usio na kipimo.+ Kila mtu anayepita kando yake atatazama kwa mshangao na kutikisa kichwa chake.+
9 mimi pia nitawatoa kwa ajili ya kutetemesha, kwa ajili ya msiba, katika falme zote za dunia,+ kwa ajili ya shutuma na kwa ajili ya neno la kimethali, kwa ajili ya suto+ na kwa ajili ya laana,+ katika mahali pote nitakapowatawanya.+
18 “‘Nami nitawafuatilia kwa upanga, kwa njaa na kwa tauni, nami nitawatoa wawe kitu cha kutetemesha falme zote za dunia,+ kuwa laana na kuwa kitu cha kushangaza na kuwa kitu cha kupigiwa mluzi na kuwa kitu cha kushutumiwa katikati ya mataifa yote ambako hakika nitawatawanya,+